top of page

Makala za Mwanadikala


Mgogoro wa Congo: Funzo Kubwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mgogoro unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), hasa kati ya serikali na kundi la waasi la M23, umeibua maswali...
Feb 8, 2025


Somo Kuu Kutoka Uchaguzi wa CHADEMA: Haki, Uongozi wa Heshima, na Maadili ya Kisiasa
Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeacha alama kubwa si tu ndani ya chama hicho, bali pia katika taswira ya siasa...
Jan 22, 2025


CHADEMA Imenasa Kwenye Mtego wa ‘Misinformation’ ?
Katika a ulimwengu wa siasa, idara za usalama na mashirika yenye maslahi binafsi mara nyingi hutumia mbinu mbalimbali kudhoofisha...
Dec 31, 2024


Matumizi ya Viuatilifu Hatari Nchini - Rais Anadanganywa?
Katika jitihada za kuinua kilimo na kukabiliana na changamoto za uzalishaji, Tanzania imeendelea kuruhusu matumizi ya viuatilifu ambavyo...
Dec 27, 2024


Mabadiliko ya Mara kwa Mara ya Mawaziri na Wakuu wa Idara: Yanaongeza Tija au Mzigo?
Jana, tarehe 10 Desemba 2024, Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassan aliwaapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni kuongoza...
Dec 11, 2024


Hapana! Tusikubali Iddi Amin Dada Kuwa ‘Role Model’ Wetu.
Wakati wa utawala wa Iddi Amin (1971–1979), Uganda ilishuhudia mateso na ukandamizaji mkubwa. Iddi Amin aliwachukia wanasiasa, wataalam,...
Dec 1, 2024


Ugumu wa Kuiondoa CCM Madarakani Unaanzia Hapa…
Kwa mujibu wa katiba, Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi. Kwa hiyo mtanzania anayo...
Nov 25, 2024


Kutukana Viongozi Matusi ya Nguoni ni Utoto - Matusi Hayajengi Hoja.
Katika jamii ya kisasa, kuna ongezeko la vijana ambao wanaotumia mitandao ya kijamii na majukwaa mengine ya umma kutukana na kutoa lugha...
Nov 22, 2024


Kuaga Maiti au Uokoaji?—Maamuzi Mabovu Katika Kipindi cha Maafa
Nianze kwa kutoa pole kwa wananchi wote waliofikwa na maafa, kujeruhiwa au kupteza mali zao katika ajali hii mbaya ya kuangukiwa ba...
Nov 20, 2024


Ubaguzi Katika Mfumo wa Demokrasia Tanzania - Nani Anapendezwa na Aibu Hii?
Kwa miaka mingi Tanzania ilijijengea sifa ya kuwa nchi inayofuata misingi ya demokrasia na utawala bora. Tangu kupata uhuru wake...
Nov 9, 2024


Ushindi wa Donald Trump ni Onyo kwa Serikali ya CCM na Funzo kwa Vyama vya Upinzani Tanzania
Ushindi wa Donald Trump dhidi ya Kamala Harris katika uchaguzi wa Marekani wa 2024 unatoa ujumbe muhimu kwa siasa za Tanzania. Funzo kuu...
Nov 8, 2024


Madhara na Hatari ya Siasa za Uchama na Ubinafsi kwa Mustakabali wa Tanzania
Siasa za Tanzania zimekuwa zikiathiriwa kwa kiasi kikubwa na uchama na ubinafsi wa viongozi, ambapo maslahi ya taifa hutupiliwa mbali na...
Nov 3, 2024


Serikali Inashindwa Kubuni Vyanzo Vipya vya Mapato?
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikitegemea kwa kiasi kikubwa kodi na tozo kama vyanzo vikuu vya mapato ya serikali....
Nov 1, 2024


Umilikishaji Silaha Kiholela - Tutavuna Tunachopanda
Kumiliki silaha ni jukumu kubwa linalohitaji mafunzo maalum, nidhamu, na uangalifu wa hali ya juu. Madhara ya kuongezeka kwa umiliki wa...
Oct 28, 2024


Ofisi ya Rais - Kuna Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Muhtasi wa Rais….
Mojawapo ya nyadhifa au nafasi ya juu inayochanganya wengi wasio na uzoefu wa mfumo wa uongozi serikalini ni hii ya Katibu wa Rais....
Oct 26, 2024


Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) - Imeshindwa Kuidhibiti CCM?
Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ni chombo cha kipekee na chenye umuhimu mkubwa katika kulinda usalama wa taifa, kutoa ushauri wa...
Oct 23, 2024


Kizungumkuti Katika Maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Uchaguzi wa serikali za mitaa nchini ni moja ya vipengele muhimu katika kuimarisha demokrasia na kuwapa wananchi nafasi ya kushiriki...
Oct 23, 2024


Sababu na Vichocheo vya Kukua kwa Matatizo ya Ujinga, Ukabila, Udini, Rushwa, na Umaskini Baada ya Kifo cha Mwalimu.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alisimamia misingi ya haki, umoja, na maendeleo ya watu wote kwa usawa. Wakati wa uongozi wake,...
Oct 16, 2024


Mwalimu Nyerere Alikuwa Akichukia Sana Mambo Haya…
Rais Julius Kambarage Nyerere, mwanzilishi wa Taifa la Tanzania, alifariki tarehe 14 Oktoba 1999, akiacha alama kubwa katika siasa za...
Oct 16, 2024


Maana Ya Uchaguzi Mkuu kwa Watanzania
Uchaguzi mkuu ni tukio muhimu katika maisha ya kidemokrasia ya taifa, ambapo wananchi hutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi...
Oct 12, 2024
bottom of page


